UEFA EURO 2016, PORTUGAL, AUSTRIA, CRISTIANO RONALDO









 CR7 laana ya kukosa penat ya muandama baada ya kukosa penati muhimu kwa timu yake y taifa ya ureno  with another penalty miss for Portugal

Mkali wa magoal wa real Madrid  ya Hispania cr7 amekosa penati muhimu katika mechi  ya mashindano ya UERO2016, yanayofanyika nchin ufarance  na kuikosesha timu yake ushindi muhimu katika mshindano hayo  mbali na kukusa ushindi na penati hiyo ameshindwa kuweka historia mpya ya kuisaidia timu yake katika mechi muhimu  katika siku ambayo alikuwa anatimiza mechi  128 katika kuichezea timu yak
e ya taifa kwenye mechi za ulaya

Maoni